SHIDA YA MAJI YAMKIMBIZA KIKONGWE

Bibi Swakina Lingoni aondoka Makarawe na kwenda kuishi Tungamaa kisa shida ya maji. Pichani akifanya mahojiano na mwandishi Maajabu Ally na kumueleza kuwa atakufa bila ya Makarawe kupata huduma ya maji. TUMEZINYAKA! Nini kifanyike..

No comments

Powered by Blogger.